THE DREAM STUDIOS

wambura babu log

DARDYS FASHION

DARDYS FASHION

Sunday, 4 January 2015

Mahakama Kenya yasitisha vipengele vya sheria ya usalama


  • Sheria hiyo mpya inaipa nchi baadhi ya mbinu zinazohitajika ili kupambana na kitisho cha ugaidi ikiwemo nyongeza ya muda wa kushikiliwa washukiwa bila kufunguliwa mashtaka kutoka siku 90 hadi 360