THE DREAM STUDIOS

wambura babu log

DARDYS FASHION

DARDYS FASHION

Sunday, 4 January 2015

Kiongozi wa Ujasusi wa Al-Shabab auwawa

  • Askari wa Somalia wakifanya ulinzi huko Mogadishu, Somalia.  
    Taarifa iliyotolewa na idara ya usalama wa taifa ya Somalia, na idara ya ulinzi Jumanne, imesema Abdishakur Tahlil aliuwawa na watu wengine wawili katika shambulio la Jumatatu.