
Waziri
wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Mhe. Dkt. Fenella Mukangara(MB)
akikagua timu za Vijana waliochini ya miaka 15 kutoka Kinondoni na
Dodoma ambazo zilishiriki hatua ya fainali katika mashindano ya Copa
Coca Cola mwishoni mwa wikiendi katika uwanja wa Krume jijini Dar es
Salaam. Ambapa katika fainali hizo kwa upande wanaume toimu kutoka
Dodoma iliibuka bingwa wa mashindano hayo kwa kuichapa Kinondoni jumla
ya magoli 4 -0, wakati kwa upande wa wanawake Kinondoni ilinyakua
ubingwa kuifunga Ilala kwa mikwaju ya penati 2 – 1 baada ya dakika tisni
kumaliza kwa sare ya mbili mbili.

Waziri
wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Mhe. Dkt. Fenella Mukangara
(MB) (wa tatu kutoka kushoto) akifurahia mara baada ya kukabidhi zawadi
ya mchezaji bora wa kike katika mashindano ya Copa Coca Cola kwa
Golikipa wa timu ya Kinondoni Zubeda Mohamed (15). Wakwanza kutoka
kushoto ni Meneja Masoko wa Coca Cola Bw. Godfrey Njowoka, Rais wa TFF
Jamal Malinzi na nyuma ya waziri anayecheka ni Mkurugenzi wa Maendeleo
ya Michezo Leonard Thadeo.

Waziri
wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Mhe. Dkt. Fenella Mukangara
(MB) (wa tatu kutoka kushoto) akifurahia mara baada ya kukabidhi zawadi
ya mchezaji bora wa kike katika mashindano ya Copa Coca Cola kwa
Golikipa wa timu ya Kinondoni Zubeda Mohamed (15). Wakwanza kutoka
kushoto ni Meneja Masoko wa Coca Cola Bw. Godfrey Njowoka, Rais wa TFF
Jamal Malinzi na nyuma ya waziri anayecheka ni Mkurugenzi wa Maendeleo
ya Michezo Leonard Thadeo.