THE DREAM STUDIOS

wambura babu log

DARDYS FASHION

DARDYS FASHION

Wednesday, 6 August 2014

ujasilimari nguvu ya taifa

ujasiliamari nguvu ya taifa changamkia fulsa 

                                        

                  ushauri kwa maisha ya kila siku 

                                                                                                                       

 zipo changamoto zinazowakumba vijana wenye umri kati ya miaka 15 hadi 45 nazo ni ukosefu wa ajira .     

 

 kijana taifa la leo na kesho pia

vijana acheni kulalamika kila siku mkilalamikia ajira serikalini kaeni chini muangalie njia mbadala za kuweza kuwainua kimaisha na si kutegemea ajira za serikalini pekee.kijana ambae mpaka leo unahangaikia ajira naomba nikutaarifu kuwa hujachelewa bado cha msingi ni ni kuchangamkia ujasiliamari.
ewe kijana ambae umeanza kukata tamaa na kudhani kuwa ajila pekee ni serikalini unajidanganya
   

si vyema kusema ajira hazipo kaa ukijua kuwa akili na nguvu yako ndio mtaji wako ewe kijana usipende kufanya mambo yasiyo na faida kwako ukitegemea siku moja unaweza kuwa tajiri au mtu wa kuheshimik pasipo kujishughulisha.amka na tafakari.

nakupa mbinu zitakazo kutoa kimaisha ewe kijana unaedhani ajira ni sekta binafsi tu au serikalini. 

1.Mwamini mungu kuwa ndie anaeweza yote na ndie atakae kufanikishia yote.

2.Jenga kujiamini kuwa unaweza kuwa mjasiliamari mzuri na unae weza fanikiwa mapema.

3.Amini kuwa wote waliofanikiwa walikuwa kama wewe ulivyo juhudi zao katika kazi ndizo zilizowafanikisha kwa kila kitu. 

4.jaribu kila kazi iliyombele yako,kijana usidharau kazi maana kila kazi ukiifanya kwa uaminifu na kwa kuipenda lazima ufanikiwe.

5.Usiogope hasara ewe mjasiliamari fanya kazi kwa kuamini kufanikiwa na kutofanikiwa ni sehemu ya maisha lakini hakuna ua lililoanza kuwa kama ua.
6.Weka malengo yaliyo mbadala katika kazi yako huku ukifanya ubunifu katika biashara yako au kazi yako.

7. hakuna kinachoweza kufanywa pasipo malengo na nia kila kazi iliyopo humu duniani ni juhudi za kazi na malengo kwa kila mmoja anavyojipangia.ila ujasiliamari ndio nguvu kuu ya maisha ya kila siku.

8.usiogope kuanzisha kitu kwa kufikiri juu ya watu waneneyo amini kuwa kila mmoja ana uelewa wake na juhudi zake katika kazi anazozifanya hivyo kushindwa kwa mwenzio katu kusikukatishe tamaa maana kila mtu anauwezo wake katika kufanya jambo analolifanya.

9.fanya kazi kwa kuangalia mazingira yapi yatakayokuwa rafiki katika kazi yako usifanye kazi tu pasipo kuchunguza kwa makini ni vitu gani vitakavyo kufaa kulingana na mazingira uliyopo

10.heshimu kila mtu kwa nafasi yake ukiamini kila mtu anamchango wake katika maisha yako.
mwisho napenda kutoa wito kwa vijana wenzangu kuwa fulsa zipo kwa wale wanaotaka nazo ni ujasiliamari nguvu ya taifa.

usitegemee usingizi kukuamsha.
ujana ni kipindi cha kutoka kimaisha
                   je wewe ni kijana? je unapenda kuwa mjasiliamari?wasiliana nami kupitia mawasiliano haya.

huu dio ulimwengu  wa ujasilamari



                

 

pongezi zote ziwafikie wote waliojiajiri na kutoendelea kuwa watumwa wa kazi.Mfanya biashara unaejibidisha katika kazi nakuombea kwa mungu akufanikishie yote kwa wakati

 

  • Ewe mama ntilie nakusihi isijetokea hata

siku moja ukakata tamaa juu ya kazi uliyonayo

amini kuwa hiyo kazi ukiifanya kwa ubunifu uta-

fanikiwa kimaisha mapema sana leo napenda

kukupongeza kwakujiajiri na sio kuwa mtumwa

wa kazi.

  • mvuvi nakuambia usitegemee kuvua tu

ndio utakufanikisha yote unayopanga kuyafanya

fanya kazi kwa malengo,fanya kazi kwa bidii,

na kwaubunifu pia usije dhani kuwa maendeleo

yanakuja bila kujibidisha kazi yako ni nzuri na

ninaipenda

  • mkulima kilimo ni uti wa mgongo yakupasa

ufanye jitihada za hali na mali kuweza kufanikisha

na kuendeleza uchumi wa taifa.mkulima amini

kuwa bila wewe hakuna atakaeishi kwa

kutegemea maji.mkulima nakupongeza sana

kwa jitihada unazofanya mtu wa kwanza

kufanikiwa kimaisha ni mkulima.

  • machinga usichoke jamii haijakusahau          

na inakukumbuka sana kazi unayoifanya ni nzuri

ukiifanya kwa uaminifu wapo watu wamejenga

na wanasomesha kupitia kazi kama yako.

jitahidi kuwa mbunifu katika kazi.

  • mfugaji fanya kazi hiyo kwa kuipenda ni                      

nzuri sana na inaweza kukufanikishia vyema maisha

yako pasipo tatizo lolote.jenga kujiamini na moyo

wa kupenda kuongeza mifugo na si kilidhika.

  • dreva bodaboda ukarimu katika kazi yako

ndio itakutoa mapema kimaisha,jitihada na bidii katika

kazi ndio itakupa msingi bora wa maisha ungeza ufundi   

katika kazi yako.

  • madreva na makonda nawapongeza kwa kazi

mnazozifanya najua mnachoka sana lakini jipeni moyo

kuwa heshima ya mtu kazi ninawasihi kuwa fanyeni kazi

kwa kuipenda kazi yenu mkiamini kazi yenu inamanufaa

katika jamii na katika maisha yenu ya kila siku.kila kazi

ukiipenda ni nzuri